Ticker

6/recent/ticker-posts

Ad Code

Responsive Advertisement

Kocha wa Man United Avunja TV kwa Kuchoshwa na Wachezaji Wake Baada ya Kupigwa na Brighton Read more: https://kiswahili.tuko.co.ke/michezo/576250-kocha-wa-man-united-avunja-tv-kwa-kukemewa-na-wachezaji-wake-baada-ya-kupoteza-brighton/

 

Kwa mujibu wa The Athletic, bosi huyo mpya wa Man United, aliyeteuliwa mwezi Novemba kuchukua nafasi ya Erik ten Hag, alivunja televisheni kwenye chumba cha kubadilishia nguo baada ya timu yake kushindwa na Brighton. 

Chapisha Maoni

0 Maoni